KUPOTEZA FAHAMU | KUZIMIA:
.
Tatizo la kupoteza fahamu au kuzimia linaweza kumpata yoyote kutokana na baadhi ya sababu au dalili. Uchunguzi unaonesha kuwa asilimia kubwa ya watu hawafahamu ni namna gani wanaweza kuwasaidia wale wanaopatwa na tatizo hili.
Karibu tuungane na daktari wetu katika kupitia na kulielewa tatizo hili chanzo, dalili, na namna ya kutoa msaada kwa wahanga.
.
.
BIASHARA NA MATANGAZO:
EMAIL: successpathnetwork@gmail.com
PHONE: Text/ Whatsapp : (+255)759191076
#Kupoteza #Fahamu #Kuzimia
![](https://i.ytimg.com/vi/v8x2ybum3xs/maxresdefault.jpg)