Bunge la jumuiya ya afrika mashariki limepitisha muswada wa kamisheni ya huduma za fedha ya afrika mashariki. Muswada huo wa mwaka 2022, unalenga kuanzishwa kwa kamisheni kama taasisi huru yenye majukumu, mamlaka, vyanzo vya fedha na makao yake makuu, ikiwa ni hatua muhimu kuelekea utekelezaji wa itifaki ya kuanzishwa kwa umoja wa fedha afrika mashariki.
![](https://i.ytimg.com/vi/vAwcuaR7Ir4/maxresdefault.jpg)