Mapenz yamechukua nafasi kubwa sana katika maisha yetu hata wakati yanapokwenda ndivyo sivyo kwa upande wako unaweza kushindwa kufanya kazi kabisa au hata kushindwa kula.katika wimbo huu pasha anambembeleza mpenz wake amsamehe makosa aliyomtendea kwani anajutia kufanya hivyo anamsihi asikumuhukumu kwa mabaya aliyomfanyia bali akumbuke na yale mazuri aliyowahi kumfanyia
#pasha - #thamaniyapenzi
Produced by Geof master &Kgt shadeed
Director-pablo
For bookings:
Call:+255653597070
Email:pashamtepa1@gmail.com
Follow pashamtepa on
Instagram:[ Ссылка ]
Facebook:[ Ссылка ]
![](https://i.ytimg.com/vi/vOKBKQMzaHo/mqdefault.jpg)