Vyakula vya wanga ni chanzo kikuu cha nishati inayowezesha ubongo na chembe hai kufanya kazi
Vyakula vingi vya wanga humeng’enywa tumboni kuzalisha sukari
Vyakula jamii ya wangi ni:-
Mboga za majani
Nafaka
Vyakula jamii ya kunde
Baadhi ya mfano wa vyakula vyenye wanga ni
• Mahindi
• Mtama
• Mchele
• Viazi
• Shayiri
• Karoti
• Magimbi
• Biti
• Mbaazi
• Maharagwe
Watu wenye shughuli za kukaa tu wanapaswa kutumia wanga kidogo ili kuwa na afya njema
Pata mwendelezo wa somo hili kwenye tovuti ya ulyclinic.com
Asante kwa kutazama
Ещё видео!