Kipindi mwanamke akiwa mjamzito, inabidi awe makini sana katika vitu anavyovitumia. Hii ni kwa sababu kuna vitu ambavyo mwanamke mjamzito akitumia vinaweza vikaweka Afya yake au afya ya mtoto wake hatarini.
Tazama video hii kufahamu vitu ambavyo mama mjamzito anapaswa kuviepuka kwa ajili usalama wa afya yake na afya ya mtoto wake.
![](https://i.ytimg.com/vi/w9H2PoMLD9s/maxresdefault.jpg)