Viongozi Wa Kidini,Machifu Na Wazee Wa Mtaa Kutoka Kaskazini Mwa Bonde La Ufa Wameelezea Imani Yao Kuwa Vita Dhidi Ya Ukeketaji Vitamalizika Kufikia Mwaka Wa 2022 Kulingana Na Agizo La Rais Uhuru Kenyatta.Na Kama Vile Mwandishi Wetu Augustine Were Kutoka Eldoret Anavyotueleza,Viongozi Hao Wamesema Wamefanya Hamasa Kwa Jamii Kumaliza Mila Hiyo Potovu
Ещё видео!