#COVID19 #NTVKenya #NTVNews
Kulingana na mamlaka ya usimamizi wa viwanja vya ndege nchini, takriban ndege mia mbili tisini hupaa na kutua nchini kila siku kutoka pembe tofauti duniani, safari ambazo zimelaumiwa kwa kusambaa kwa maradhi ya Corona nchini, kwa sababu wagonjwa wengi ambao wamepatikana na ugonjwa huo nchini wametoka ngambo.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
![](https://i.ytimg.com/vi/wQLZK6zALfM/maxresdefault.jpg)