BREAKING: WAZIRI WA AFYA, UMMY MWALIMU AZUNGUMZA KUHUSU CORONA...
IDADI ya kesi za wagonjwa wa Covid 19 nchini Tanzania imeongezeka na kufikia kesi 147, baada ya wagonjwa wengine wapya 53 kukutwa na virusi vya Corona.
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema wagonjwa hao wote ni Watanzania ambapo 38 ni kutoka mkoa wa Dar es Salaam, Zanzibar wagonjwa 10, Kilimanjaro mgonjwa mmoja, Mwanza mgonjwa mmoja, Pwani mgonjwa mmoja, Lindi mgonjwa mmoja na Kagera mgonjwa mmoja.
Aidha, Ummy mwalimu amesema jumla ya wagonjwa waliopona mpaka sasa ni 11 huku wagonjwa watano wakipoteza maisha tangu ugonjwa huop uingie hapa nchini.
UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE
(+255 784 888982)
(+255 676 229628)
Email: globaltvbest@gmail.com
abbymrisho@gmail.com
HABARI MPYA DAILY:
[ Ссылка ]
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
[ Ссылка ]
GLOBAL RADIO TV:
[ Ссылка ]
EXCLUSIVE INTERVIEW:
[ Ссылка ]
Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
Ещё видео!