Video inaonesha waandamanaji wakirudisha bomu ya machozi waliyorushiwa na askari jijini Nairobi. Wengine walioketi katikati ya barabara na mabando walitawanishwa na baaadhi yao kukamatwa.
Maandamano haya yanaendelea licha ya Rais William Ruto wa Kenya kufutilia Muswada wa Fedha wa 2024 uliozua tetesi katika wananchi hasa vijana.
Serikali ilitoa idhini kwa wanajeshi kuingilia kati vurugu ya maandamano.
![](https://i.ytimg.com/vi/warGeROuPco/maxresdefault.jpg)