Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Joelson Mpina ametoa tamko kali kwa Wawekezaji ambao wapo kwenye maeneo tengefu ya Hifadhi ya Bahari. Kauli hiyo imetolewa mara baada ya Wawekezaji hao kukiuka mashariti ya mikataba kwa kutolipa Fedha za Uwekezaji. Hivyo Mpina ameagiza Mikataba ya Wawekezaji hao ivunjwe mara moja na pesa yote wanayodaiwa ilipwe kufikia Tarehe 28 Mwezi wa Pili 2019.
Enjoy to watch Super News TV made in India subscribe our Channel for more videos. #Mrsupernews
Ещё видео!