Eneo la Ngadi lilioko kusini mwa mji wa Beni, Kivu Kaskazini ambako kulifanyika mauaji ya kwanza ya kinyama 2014 na miili ya watu 33 ilikutwa imeuawa kwa kukatwa mapanga.
- - - - -
#VOASwahili
Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
![](https://i.ytimg.com/vi/x-pKPcihnUk/mqdefault.jpg)