USHUHUDA WA WASTARA: Kuigiza, Alivyokutana na SAJUKI Mpaka Ndoa!
Ushuhuda wa Wastara Juma, msanii wa bongo muvi nchini Tanzania
katika safari ya maisha yake ana mapito mengi aliyopitia ikiwa pamoja na kufiwa na mumewe Sajuki pamoja na kupata ulemavu wa mguu baada ya kupata ajali.
Pamoja na yote hayo Wastara bado ni moja kati ya wanawake wanaojituma na kujiamini katika yale anayoyafanya. Anafanya biashara mbalimbali hali inayomfanya yeye kuwa mfano wa kuigwa kwa walemavu wengine na hata kwa watu wasio na ulemavu.
#USHUHUDAwaWASTARA
www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: [ Ссылка ] Install Global App: iOS: [ Ссылка ] [ Ссылка ]... Watch More Videos here: [ Ссылка ] Watch More Videos here: [ Ссылка ] Website:
www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: [ Ссылка ] Install Global App: iOS: [ Ссылка ]
Ещё видео!