Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Nchini TUCTA limewasilisha kwa njia ya maandishi Hoja tatu Katika Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kuhusu madai ya ngongeza ya mshahara ikiwamo baadhi ya taasisi za Serikali ambazo watumishi wake hawajapata nyongeza hiyo.
Hatua hiyo imafuatia mazungumzo kati ya TUCTA na Serikali yaliyofanyika Julai 26 jijini Dodoma ambapo Rais wa Shirikisho hilo Tumaini Nyamhokya amesema leo wamewasilisha hoja zao kwa maandishi ili kupata ufafanizi.
Waziri Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Jenista Mhagama amethibitisha kupokea hoja hizo.
Endelea Ku-Subscribe hapa: [ Ссылка ]
#dmtv #tanzania #mishahara #tucta #wafanyakazi
Ещё видео!