DC GONDWE AFOKA - "KWANINI MMESAHAU SHULE ZA MSINGI, LAZIMA Twende na SPIDI ya RAIS MAGUFULI"
Mkuu wa wilaya Temeke, Godwin Gondwe, ameupongeza uongozi wa Manispaa ya Temeke kwa kufanya vizuri kwenye ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa shule za sekondari lakini pia ametoa maagizo ya jitihada hizo kufanyika pia kwa shule za msingi.
Mkuu huyo wa wilaya ametoa agizo hilo alipokuwa kwenye ziara ya kukagua maendeleo ya elimu katika shule ya msingi Mbande iliyopo Mbagala jijini Dar es salaam.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:[ Ссылка ]
⚫️ iOS:[ Ссылка ]
⚫️ VISIT AMAZON: [ Ссылка ]
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: [ Ссылка ]
⚫️ GLOBAL RADIO TV: [ Ссылка ]
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: [ Ссылка ]
⚫️ Subscribe Global TV [ Ссылка ]
![](https://i.ytimg.com/vi/yIji81LjgZw/mqdefault.jpg)