Subscribes:[ Ссылка ]
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limepokea maombi ya waamuzi saba wanaotaka kutopangwa kuchezesha baadhi ya mechi za Ligi Kuu Bara kutokana na presha na uoga wa kuboronga katika kufanya maamuzi Ishu hiyo imekuja ikiwa ni siku chache baada ya sakata la waamuzi kuboronga katika baadhi ya mechi za Ligi Kuu Bara zilizochezwa hivi karibuni huku baadhi yao wao wakikumbana na adhabu.
Katibu Mkuu wa TFF, Wilfred Kidao, amesema wamepokea maombi hayo, lakini wakaona hilo siyo suluhisho la kuondoa tatizo na badala yake wana mpango wa kuwaandalia kozi maalumu itakayowanoa na kuwafanya wawe bora katika siku za usoni.
Instagram: [ Ссылка ]
Facebook: [ Ссылка ]
Twitter: [ Ссылка ]
Subscribes:[ Ссылка ]
![](https://i.ytimg.com/vi/yS1OKEkc0H4/maxresdefault.jpg)