HALI ni TETE KENYA: BIASHARA ZAFUNGWA, MAANDAMANO na MIGOMO INAENDELEA NCHI NNE za AFRIKA....
Leo Jumatatu ya Machi 20, 2023 kumeripotiwa maandamano katika nchi nne za Kiafrika.
Kutoka nchini Kenya, biashara zimefungwa katikati mwa Jiji la Nairobi huku polisi wa kutuliza ghasia wakidaiwa kufyatua mabomu ya machozi kuwatawanya waandamanaji wa upinzani.
Inaripotiwa kuwa, kuna mapigano yanayoendelea kwenye barabara kuu ya Kenyatta kati ya polisi na waandamanaji, baadhi yao wakiwarushia mawe maafisa hao wa usalama.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: [ Ссылка ]
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:[ Ссылка ]
⚫️ iOS:[ Ссылка ]
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: [ Ссылка ]
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: [ Ссылка ]
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: [ Ссылка ]
⚫️ GLOBAL RADIO TV: [ Ссылка ]
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: [ Ссылка ]
⚫️ Subscribe Global TV [ Ссылка ]
![](https://i.ytimg.com/vi/yh1pgpwZo4Y/maxresdefault.jpg)