MBUNGE 'BWEGE' ALIVYOTINGA kwenye KAMPENI za CCM, KASSIM MAJALIWA Akizungumza na WANANCHI...
MGOMBEA UBUNGE wa jimbo la Kilwa Kusini kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Bw. Selemani Bungara maarufu kwa jina la Bwege ameukubali muziki wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa kushangilia hotuba zake.
Bw. Bungara ambaye katika kipindi kilichopita alikuwa mbunge wa jimbo hilo kupitia Chama cha Wananchi (CUF), amehudhuria mkutano wa kumuombea kura mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM wa jimbo hilo uliofanyika leo (Alhamisi, Oktoba 22, 2020) kwenye uwanja wa Ukote, Kilwa Kivinje, wilayani Kilwa, mkoani Lindi.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:[ Ссылка ]
⚫️ iOS:[ Ссылка ]
⚫️ VISIT AMAZON: [ Ссылка ]
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: [ Ссылка ]
⚫️ GLOBAL RADIO TV: [ Ссылка ]
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: [ Ссылка ]
⚫️ Subscribe Global TV [ Ссылка ]
Ещё видео!