Akizungumza wakati wa akiongea na watumishi wa Hospitali hiyo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, jinsia, wazee na watoto Dr Zainab Chaula amempongeza Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mara(Musoma) Dr Joackim Eyembe kwa uchapakazi kiasi cha kutamani kumhamishia wizarani jambo ambalo lilipingwa na watumishi wa Hospitali hiyo wakati bado wanamuhitaji.
Ещё видео!