"Sisi kama GSM ni sehemu ya familia ya Yanga SC, Matokeo mazuri ni furaha kwetu na yakiwa mabaya ni masikitiko yetu pia. . tumeona licha ya kuwa sisi ni wadhamini pia tunaweza kufanya kitu kingine ambacho kikawa chachu , nakabidhi pesa milioni 10 kufuatia ushindi wa leo na naahidi kuanzia leo tutakuwa na utaratibu wa kununua alama tatu"
Eng Said.
(muwakilishi GSM)
![](https://i.ytimg.com/vi/zuAJqXE5JXo/mqdefault.jpg)