Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) Masanja Kadogosa amesema anaweza kuungana na mashabiki wa Simba SC watakaokwenda mkoani Morogoro kwenye uzinduzi wa #SimbaWeek2024 hapo Julai 24.
Klabu ya Simba imetangaza kwenda kuzindua #SimbaWeek2024 ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Mikumi mkoani Morogoro.
Safari ya kwenda Morogoro itafanyika Julai 24 na watatumia usafiri wa treni ya kisasa ya SGR.
#SimbaDay ni Agosti 3, ndani ya dimba la Benjamin Mkapa
#UbayaUbwela #SimbaDay2024
Ещё видео!