Subscribes:[ Ссылка ]
TIMU ya Simba SC imeanza vyema michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya ushindi wa mabao 4-1 kwenye mchezo wa kwanza wa Raundi ya Awali dhidi ya Mbabane Swallows ya Eswatini, zamani Swaziland jioni ya leo Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam.
Ushindi huo unamaanisha Simba SC imerahisisha kazi kuelekea mchezo wa marudiano Desemba 4 nchini Swaziland, kwani wenyeji watatakiwa kushinda 3-0 ili kusonga mbele.
Kiungo Mzambia, Clatous Chama akakamilisha shangwe za mabao za Wekundu wa Msimbazi baada ya kufunga bao la nne dakika ya 90 na ushei, akimalizia pasi nzuri ya kiungo Hassan Dilunga aliyetokea benchi zikiwa zimesalia dakika tatu.
Subscribes:[ Ссылка ]
Instagram: [ Ссылка ]
Facebook: [ Ссылка ]
Twitter: [ Ссылка ]
Mwalimu Kashasha Amchambua CHAMA wa Simba
Теги
Mwalimu Kashashambabane SwallowssimbaMo DewjiCletus Chamatry Againhaji Manarauwanja wa TaifaAishi ManulaNicholas GyanMohammed HusseinErasto NyoniPascal WawaJames KoteiClatous ChamaJonas MkudeJohn BoccoHassan DilungaMeddie KagereEmmanuel OkwiShiza Kichuyambabane swallows vs mbabane highlandersmbabane swallows vs zesco unitedmbabane swallows vs kaizer chiefs