SimbaDay2019:
Hiki ndio kikosi cha Simba SC kilichotambulishwa kwenye tamasha la Simba Day 2019 kikijumuisha wachezaji wa kimataifa na wachezaji wa ndani.
Miongoni mwao ni mchezaji anayecheza namba zote, Mohamed Dewji.
Tazama namna mashabiki wa Simba SC walivyojaza uwanja na kwa mujibu wa viongozi wa Simba SC tiketi ziliuzwa zikamalizika kabla ya kikosi hicho kutambulishwa.
Tukio hili limefanyika uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam siku ya Jumanne ya Agosti 6, 2019.
![](https://i.ytimg.com/vi/EN8hRKbxDrI/mqdefault.jpg)