Yanga SC imechomoa mabao yote matatu baada ya kutanguliwa 3-0 na Mbeya City kwenye Dimba la Sokoine, Mbeya, mechi ikimalizika kwa sare ya 3-3.
Magoli ya Mbeya City yamefungwa na George Sangija na Richardson Ng'ondya aliyefunga mawili wakati Yanga ikijibu kupitia kwa Bernard Morrison aliyefunga mawili, moja likiwa penati pamoja na Salum Abubakar Sureboy aliyefunga goli la pili.
Haya yote sita....., Bernard Morrison akigeuka kuwa 'mkombozi'.
Ещё видео!