“…. namuona kama kilema….ni mtoto…..hajitambui…..hana akili….ana tamaa ya maisha……kitu bora kwake ni roho mbaya” –
Bondia Ibrah Class amchana Said Mkola, amtabiria kichapo kwenye pambano lake dhidi ya Said Bwanga katika #DarBoxingDerby Juni 29, 2024, asema “…akishinda kwa Said Bwanga, naacha ngumi…”.
Je, unajua chanzo cha haya yote???
Msikilize hapa Ibrah Class akiwa kwenye #VitasaNjeYaUlingo na #AidanMlimila
Ещё видео!