Stephane Aziz Ki amepiga #hattrick yake ya kwanza tangu atue Jangwani, na kuipa Yanga ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Kagera Sugar, mechi ya #NBCPremierLeague iliyochezwa #AzamComplex Chamazi.
Aziz amefunga penati mbili dakika ya 43 na 90, huku ligine kali zaidi akifunga dakika ya 45+1. Magoli mengine kwenye mchezo huo yamefungwa na Fiston Mayele dakika ya 50 na Bernard Morrison dakika ya 85.
Tazama highlights...
Ещё видео!