INONGA vs MAYELE: Wote wanatoka DR Congo…. Si unakumbuka ile vita yao?? Sasa Jumapili hii itakuwepo tena palepale kwenye Dimba la Benjamin Mkapa.
Je, nani ataishinda vita hii?
Ni suala la muda tu…..!!!
Tukutane Aprili 16 LIVE #AzamSports1HD kwa kifurushi cha shilingi 23,000 mwezi mzima.
#KariakooDerby #WataniWaJadi #NiSualaLaMudaTu
![](https://s2.save4k.ru/pic/OK6nNNzfqac/maxresdefault.jpg)