IMEISHA HIYO: SAMATTA Huyoo UTURUKI, Amwaga WINO wa MWAKA MMOJA, Sasa ni MCHEZAJI wa FENERBAHCE...
MSHAMBULIAJI wa timu ya soka nchini Tanzania Mbwana Samatta leo Septemba 25, 2020 amejiunga na klabu ya Uturuki Fenerbahce kwa mkataba wa miaka minne.
Samatta alikuwa anakipiga ndani ya Aston Villa inayoshiriki Ligi Kuu England, ila kwa msimu wa 2020/21 alikwama kupenya kikosi cha kwanza kutokana na kushindwa kuonyesha makeke aliyokuwa nayo awali.
Na Felista Massae....
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:[ Ссылка ]
⚫️ iOS:[ Ссылка ]
⚫️ VISIT AMAZON: [ Ссылка ]
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: [ Ссылка ]
⚫️ GLOBAL RADIO TV: [ Ссылка ]
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: [ Ссылка ]
⚫️ Subscribe Global TV [ Ссылка ]
Ещё видео!