YANGA vs SIMBA: BODI ya LIGI Yatoa SABABU za KUSOGEZA MBELE Mechi HIYO
ULE mchezo wa dabi kati ya Yanga na Simba ambao ulikuwa ukisubiriwa kwa shauku kubwa na mashabiki umepelekwa mbele na Bodi ya Ligi Tanzania hivyo itapigwa Novemba 7.
Mechi hiyo mpaka sasa ilikuwa inahesabu siku 11 kabla ya watani hao wa jadi kukutana na tayari Yanga ilishaingia kambini jana, Oktoba 6 kuanza maandalizi.
Taarifa rasmi iliyotolewa leo na Bodi ya Ligi Tanzania imetajasababu kuwa ni pamoja vikwazo kwa usafiri kwa wachezaji walioitwa kwenye timu zao za Taifa kutokana na Janga la Virusi vya Corona.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:[ Ссылка ]
⚫️ iOS:[ Ссылка ]
⚫️ VISIT AMAZON: [ Ссылка ]
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: [ Ссылка ]
⚫️ GLOBAL RADIO TV: [ Ссылка ]
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: [ Ссылка ]
⚫️ Subscribe Global TV [ Ссылка ]
![](https://i.ytimg.com/vi/WI9bcPHpiME/maxresdefault.jpg)