KMC 'KINO BOYS' wameshinda Mchezo wa pili wa Play off dhidi ya Mbeya City kwa idadi ya Goli 2, ambapo Mchezo wa kwa kwanza walipoteza kwa kichapo cha Goli 2 kwa 1 na sasa wanasalia Ligi kuu baada ya kushinda na kuwa na idadi ya magoli matatu kwa mawili ya Mbeya City.
Kikosi cha Mbeya City kitakwenda kumenyana na Mashujaa kwenye Mchezo mwingine wa play off ili kitafuta Tiketi ya kusalia Ligi kuu Msimu ujao
Ещё видео!