Magoli mawili kutoka kwa Ruboneka Jean-Bosco dakika ya 45 na Niyigema Clement yamefuta ndoto za Azam FC kupiga hatua kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kupoteza 2-0 ugenini dhidi ya APR.
Ni mechi iliyopigwa kwenye Dimba la Amahoro, Jijini Kigali, na kuhitimisha safari ya Azam FC kwenye #CAFCL kwa jumla ya magoli 2-1 kufuatia ushindi wa 1-0 nyumbani wiki moja iliyopita......
Azam imetupwa nje raundi ya kwanza ya hatua za awali, huku APR ikisonga mbele...
Ещё видео!