KAMBI YA SIMBA: Tazama kocha mpya wa Simba SC, Fadlu Davids akiandaa mazingira kwa ajili ya ‘tizi’ la leo hapa Ismailia Misri.
Ni siku ya tatu leo kwa kocha huyo tangu aanze kutoa ‘dozi’ ya mazoezi kwa kikosi chake
Wenzetu Patrick Nyembera na Emmanuel Zinga wapo pamoja na kikosi hicho kukupa kila kinachoendelea ndani ya kambi hiyo.
#SimbaSC #KambiYaSimba
![](https://s2.save4k.ru/pic/kyd_a7emKds/maxresdefault.jpg)