#Simbasc#YangaSc#TFF#Bodiyaligi#Wizarayamichezo#Mkapastadium
Simba SC imeeleza kuwa ilichofanya Yanga SC kuondoka uwanjani ni kugomea mchezo na adhabu yake ni kushushwa madaraja mawili na Simba SC kupewa alama 3 na magoli mawili.
"Kitendo chao ni sawa na usaliti kwa nchi na serikali ambayo ilitoa maelekezo," imeeleza taarifa ya Simba SC
Ещё видео!