Bajeti Kuu ya Serikali mapendekezo ya Serikali kuhusu makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa Fedha 2022/2023 inaendelea kujadiliwa Bungeni na Mbunge wa Kisesa Mhe. Luhaga Mpina, amempongeza Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba kufichua udhaifu kwa baadhi ya watendaji kufuja mali za Umma pamoja na mashirika ya Umma kugeuzwa kuwa mali binafsi.
Mhe. Mpina, amesema deni la Serikali limeongezeka kwa Trilioni 8.72 katika mwaka mmoja wa Fedha, hivyo amemwomba Waziri wa Fedha atakapohitimisha hoja yake aweze kulieleza ili kuondoa mkaganyiko uliopo katika Jamii.
#KutokaBungeni
#HakunaKuleft
Ещё видео!