Ni shindano la kusakata kabumbu vidoleni (Play Station FIFA 19) ambalo limefanyika kwa takriban wiki kumi 10 ndani ya Studio za Azam TV chini ya uratibu wa taasisi ya Bandar Services.
Nusu fainali hii imepigwa tarehe 17/02/2019 LIVE kutoka studio za Azam TV.
Katika hatua hii ya nusu fainali, Hassan Bakari amecheza na Geofrey Elias wakati Safi Gushu akipambana na Abdul-Razack Mushi.
Tazama mnyukano ulivyokuwa.
Ещё видео!