MAAJABU DIMBA LA MKAPA: Jumamosi na Jumapili ni siku ambazo zinatarajiwa kuwa za maajabu huku Watanzania wengi wakitamani kuziona timu zao kongwe Simba na Yanga zikitinga hatua ya robo fainali ya michuano ya kimataifa.
Itaanza Simba Jumamosi ya Machi 18 kucheza dhidi ya Horoya AC na kisha Jumapili #Wananchi watakuwa kibaruani dhidi ya US Monastir.
Hekaheka zote hizo zitafanyika katika dimba la Benjamin Mkapa. Nini kitatokea?
#CAFCL #CAFCC #LigiYaMabingwaAfrika #KombeLaShirikishoAfrika
Ещё видео!