Baadhi ya wabunge la Tanzania wakimpa hela Mbunge wa Geita Vijijini Mhe. Dkt. Joseph Musukuma, baada ya kuuliza swali kwa lugha ya Kingereza mgombea wa CUF Ndugu Mohamed Habib Mnyaa anayeomba kupigiwa kura ya ndio ili kuiwakikisha Tanzania kwenye Bunge la Afrika Mashariki (EALA), ambapo wagombea 20 wanaomba kura na wagombee 9 tu ndio wanaotakiwa kwenda kuwakilisha nchi kwenye Bunge hilo.
#Fiesta2022 #MchongoFiesta #WekaManeno
![](https://s2.save4k.ru/pic/yTJIzLY5zCg/maxresdefault.jpg)