Moja ya Wizara zinazofuatiliwa sana nchini ni ile inayohusisha uhusiano na majirani kwakuwa mbali ya kushughulikia muingiliano wa watu pia biashara za kimataifa zinazoipatia faida kubwa ya pesa za kigeni Tanzania hushughulikiwa hapa.
Na hapa Katibu Mkuu balozi Joseph Sokoine anaweka wazi shughuli zao na sababu za kuwemo kwenye maonesho ya kimataida ya biashara Sabasaba.
![](https://i.ytimg.com/vi/30v-Agn29zc/maxresdefault.jpg)