GOLI LA SAMATTA VS LIVERPOOL Laweka Historia TANZANIA
Mshambuliaji kinara wa klabu bingwa ya Ubelgiji KRC Genk na nahodha wa Tanzania, Mbwana Samatta, hatimaye amepachika goli dhidi ya vigogo wa England klabu ya Liverpool jana usiku.
Goli hilo lilikuwa likisubiriwa kwa hamu na mashabiki wa mpira wa miguu nchini Tanzania.
Hata hivyo, matokeo ya mwisho ya mchezo huo wa Klabu Bingwa Ulaya yalikuwa mabaya kwa Genk kwa kulazwa kwa goli 2-1.
Samatta, aliunganisha kwa kichwa mpira wa kona mpaka wavuni katika dakika ya 40 ya mchezo.
Mshambuliaji huyo ambaye ameweka rekodi ya kuwa Mtanzania wa kwanza kucheza michuano hiyo mikubwa zaidi ya vilabu barani Ulaya tayari ameshapachika magoli mawili katika mechi nne.
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
-------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY:
[ Ссылка ]...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
[ Ссылка ]...
GLOBAL RADIO TV:
[ Ссылка ]...
EXCLUSIVE INTERVIEW:
[ Ссылка ]
![](https://i.ytimg.com/vi/VNnXECrlM_I/mqdefault.jpg)