Katibu Itikadi na uenezi Chama cha Mapinduzi (CCM)Mheshimiwa Paul Makonda amesema kuwa yeye ni mwenezi anayebadilika kutokana na Mazingira na kama angeteuliwa katika nafasi hiyo kipindi cha utawala wa Hayati Dkt John Pombe Magufuli, basi wale jamaa wangenyooka.
Mh Paul Makonda amesema hayo wakati wa ziara yake ya kichama wilayani Moshi.
![](https://i.ytimg.com/vi/jD3Y96aI04I/maxresdefault.jpg)